Chausiku’ Hadanganyiki Ng’o


Chausiku’ Hadanganyiki Ng’o
     

    Staa wa  filamu ya Chausiku, Shamsa Ford amesema hatobadilisha msimamo wake wa kushabikia vyama vya upinzani kwa kulaghaiwa na wasanii wachache kwa maslahi yao binafsi .
    Shamsa alisema hayupo tayari kufuata maamuzi ya watu wengine hata kwa lungo la fedhakwani  kufanya hivyo  I kujidhalilisha
    .
    “Mimi nitabaki huku kwa kuwa nahitaji mabadiliko,” kila siku wasanii tunalia tukidai tunaibiwa na hakuna utekelezaji na matokeo yake tunapewa ahadi zisizoisha.”
    Aidha , Shamsa Fordaliwataka mashabiki kuwaona kama watu wakawaida kwani baada ya siasa maisha yataendelea kama zamani.