MTOTO WA KIKE SOMA USOAMAVYO LKN CV YA MWISHO NI KIUNO TU



Huu ndo ukweli. Wewe hujiulizi, kila siku wanalia ooh haki sawa, tunataka haki sawa...iwe ni kwny ajira n.k., lakini hebu zunguka huko maofisini, walioshika idara za maana ni wanawake, walioajiriwa kwa wingi ni wanawake...ukiuliza utaambiwa ooh gender balance!! gender balance my toe. Unadhani waliscore zaidi ya wanaume? hamna, walitumia CV ingine na wakapita, ya kiuno!!!

Ukweli ni kwamba kila kampuni, kila ofisi inatanguliza kwanza manpower ya kiume...maana KE mambo mengi, mara kuolewa, mara hedhi, mara kujifungua...ndio maana wenzetu ulaya sekta zingine zimeweka wazi kabisa kuwa km ww ni KE na unataka ajira hapa...hakuna kuolewa wala kuzaa.

These dudes were designed to serve men. Na huwezi tumikia mabwana wawili...ndio maana mwanamke akishika pesa, anadharau mwanaume/haoni tena umuhimu wa mwanaume...na akiwa na bwana ake/mwanaume wake, hakuna kingine kinachomake sense zaidi ya mwanaume wake...ndio maana ni rahisi wao kuacha kazi wakufuate unakoamua kwenda kutia nanga.

Ni mtazamo tu, washkaji msijenge chuki