![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiYghJsqJsmET2TbnqdS6EZ56NJx0mysaRAh315TFO38th92_rxx09d40xabfqh2TNBNN3F3HyezxOZh6aXkCd6f7sXl_FFTqxnoj9WwLS9JvTT4cDeAPlK-fbpZknnoRkHONaTzaHuL8Y/s640/Kenyan+news+muhubiri.jpg)
KENYA: Binti mmoja amefariki dunia baada ya kula mchanga wa kaburi
Mhubiri alimshauri ale mchanga huo kwa madai kuwa ana mizimu
Inasemekana baada ya kunyweshwa dawa, ndivyo hali ya afya ya msichana huyo ilivyozidi kuwa mbaya hadi akapoteza fahamu.