MAISHA HALISI YA DEO FILIKUNJOMBE KUWEKWA LIVE KWA NJIA YA FILAMU

Maisha halisi ya aliyekua Mbunge wa jimbo la ludewa mkoan njombe hivi punde yataletwa kwa
wanachi kwa njia filamu..
   








    Filamu hiyo imechezwa na muuangano  wa wasanii mbalimbali ikiwemo wasanii wa Njombe mjini na wasanii wa ludewa. Filamu hiyo imesimamiwa na mke wa hayati Deo Filikunjombe kupitia  msanii wa muziki wa kizazi kipya Addy ambaye alishilikiana na mheshimiwa marehemu Deo Filikunjombe katika suala la kampeni..
   Filamu hiyo imeongozwa na Jofrey Mwenda ambapo imeshutiwa katika wilaya ya ludewa.Filamu hiyo inategemewa kuachiwa mapema mwaka huu mwezi wa tatu mwanzoni.






ASANTE KWA KUTEMBELEA BLOG YETU
    LIKE PAGE YETU YA FB HAPA