BAADA YA KUMTUKANA SHETTAH MITUSI MIKUBWA MIKUBWA DUDUBAYA AOMBA MSAMAHA>>>>>>>>>>




Lile sakata la Dudubaya na shetta the don la kutumia jina la Mamba sakata hilo limeingia sura nyingine baada ya Dudubaya kumtukana matusi ya nguoni msanii huyo,hatimaye Dudubaya amuomba msamah msanii huyo,na hiki ndicho alichokiandika instagram