za maisha kule ni juu sana
Akaongezea kile kisiwa alichoenda na kupiga picha na Wayne Rooney ku book
meza kwa ajili ya lunch ilikuwa ni Euro 10,000 ambazo ni around milion 25 za
Tanzania
Akizungumzia kuhusu watu kusema yule sio Rooney Original amedai hiyo ni kawaida kwani inawezekana hata mtu akatoka mkoani na kupiga nae picha kisha akawaonyesha wenzake na kumbishia wewe huwezi kupiga picha na Ommy Dimpoz :
Akizungumzia kuhusu watu kusema yule sio Rooney Original amedai hiyo ni kawaida kwani inawezekana hata mtu akatoka mkoani na kupiga nae picha kisha akawaonyesha wenzake na kumbishia wewe huwezi kupiga picha na Ommy Dimpoz :