Picha za Kwanza Kutoka Uwanja wa Taifa Kwenye Tukio la Kuapishwa Kwa Dk John Pombe Magufuli...Watu Wafurika Wengine Wakosa Nafasi ya Kuingia
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Leo Rais mteule wa awamu ya tano, Dk. John Magufuli anaapishwa rasmi ambapo asubuhi hii viongozi mbalimbali wanaendelea kuwasili uwanja wa uhuru kushuhudia sherehe hizi.
Watu ni wengi sana, mvua nayo inanyesha kuonyesha ni tukio lenye baraka